#LYRICS: MOMBASA by MARIOO - BambaOne Media

Breaking

Thursday, May 7, 2026

#LYRICS: MOMBASA by MARIOO

“Mombasa” by Marioo is a heartfelt Bongo Flava song that explores the pain of heartbreak, emotional exhaustion, and the desire for real love. Through emotional lyrics, Marioo tells the story of someone who feels drained by toxic relationships and constant disappointment. The track carries a mix of sadness and hope, as he dreams of escaping his current situation in search of comfort, happiness, and a more genuine connection.


Marioo - Mombasa Lyrics


[Intro]

Mombasa aaahh

Mombasa aaahh

001 uh yeah yeah

Mombasa aaahh

Kanibari kutoka

Mombasa aaahh

[Verse 1]

Mtu nampenzi, lakini sidekezwi

Mi mpenzi mtazamaji

Mtu na kwetu, ntakuwa fala

Kama samaki akifa kwenye maji

Acha nionekane sijiwezi

Siri ya mtungi naijuwa kata

Ni mara ngapi nimeumizwa nikalia, ah

Uliza ili jicho

[Pre Chorus]

Hawa watu hawa

Hivi kwali ni watu wa mingu hawa?

Mbona hawana huruma hawa?

Dar es Salaama mtanitoa roho yangu

Me siwezi kuishi bila kupendwa

[Chorus]

Bora niende, Mombasa aaahh

Nikajaribu, zali langu mimi, Mombasa aaahh

Naomba mnipokee, eh, Mombasa aaahh

Abdullswamad nateseka mimi, Mombasa aaahh

[Verse 2]

Nipate mtoto wa mtu nimpende

Nimpende salamu zifike bongo

Dhahabu chini ya mtende

Na mi nitulize ubongo

Nachoka mimi nachoka

Kulia lia kama mutoto

Basi nijipate nitulie

Ushanitosha msoto

[Pre Chorus]

Hawa watu hawa

Hivi kwali ni watu wa mingu hawa?

Mbona hawana huruma hawa?

Dar es Salaama mtanitoa roho yangu

Me siwezi kuishi bila kupendwa

[Chorus]

Bora niende, Mombasa aaahh

Nikajaribu, zali langu mimi, Mombasa aaahh

Naomba mnipokee, eh, Mombasa aaahh

Abdullswamad Nateseka Mimi, Mombasa aaahh

No comments:

Post a Comment