“Mombasa” by Marioo is a heartfelt Bongo Flava song that explores the pain of heartbreak, emotional exhaustion, and the desire for real love. Through emotional lyrics, Marioo tells the story of someone who feels drained by toxic relationships and constant disappointment. The track carries a mix of sadness and hope, as he dreams of escaping his current situation in search of comfort, happiness, and a more genuine connection.
Marioo - Mombasa Lyrics
[Intro]
Mombasa aaahh
Mombasa aaahh
001 uh yeah yeah
Mombasa aaahh
Kanibari kutoka
Mombasa aaahh
[Verse 1]
Mtu nampenzi, lakini sidekezwi
Mi mpenzi mtazamaji
Mtu na kwetu, ntakuwa fala
Kama samaki akifa kwenye maji
Acha nionekane sijiwezi
Siri ya mtungi naijuwa kata
Ni mara ngapi nimeumizwa nikalia, ah
Uliza ili jicho
[Pre Chorus]
Hawa watu hawa
Hivi kwali ni watu wa mingu hawa?
Mbona hawana huruma hawa?
Dar es Salaama mtanitoa roho yangu
Me siwezi kuishi bila kupendwa
[Chorus]
Bora niende, Mombasa aaahh
Nikajaribu, zali langu mimi, Mombasa aaahh
Naomba mnipokee, eh, Mombasa aaahh
Abdullswamad nateseka mimi, Mombasa aaahh
[Verse 2]
Nipate mtoto wa mtu nimpende
Nimpende salamu zifike bongo
Dhahabu chini ya mtende
Na mi nitulize ubongo
Nachoka mimi nachoka
Kulia lia kama mutoto
Basi nijipate nitulie
Ushanitosha msoto
[Pre Chorus]
Hawa watu hawa
Hivi kwali ni watu wa mingu hawa?
Mbona hawana huruma hawa?
Dar es Salaama mtanitoa roho yangu
Me siwezi kuishi bila kupendwa
[Chorus]
Bora niende, Mombasa aaahh
Nikajaribu, zali langu mimi, Mombasa aaahh
Naomba mnipokee, eh, Mombasa aaahh
Abdullswamad Nateseka Mimi, Mombasa aaahh



No comments:
Post a Comment