Mwanamuziki wa Bongo fleva Rama Dee ambaye amekuwa nje ya nchi kwa kipindi flani lakini amekuwa akiachilia ngoma kadhaa zinazofanya poa hapa Bongo ikiwemo 'Kuwa na subira' aliyo washirikisha Mapacha pia ikiwepo 'Kama huwezi' aliyofanya na Lady Jay Dee ambazo zilifany apoa kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio amekataa kujiona kama mfalme wa Rn'B hapa Bongo nakusema hakuna umuhimu wa kuwa mfalme zaidi ya kufanya kazi nzuri.
Mwanamuziki Rama Dee pia amekanusha kuwepo kwa beef katiyake na Mh Joseph Mbilinyi aka Sugu nakusema yeye na muheshimiwa hawana beef yoyote na hata jana walikuwa pamoja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Welcome to Bamba One Media, your trusted destination for timely, engaging, and wide-ranging content from across the globe. We go beyond just headlines, bringing you a complete media experience that keeps you informed, aware, and connected to what matters most.
At Bamba One Media, we cover it all. From hard news shaping the world, to the latest in entertainment and music, from fast-moving sports updates to insights in business and finance, and the innovations driving the future in technology, our platform is built to keep you ahead of the curve.
Behind the platform is a voice driven by passion and purpose: delivering fresh, relevant, and compelling stories every day. Whether it’s breaking news, rising artists, major sporting moments, market trends, or viral stories making waves online, we aim to bring clarity, perspective, and energy to every piece of content.
Bamba One Media isn’t just about staying informed; it’s about experiencing the world in real time.
Welcome to Bamba One Media - Your Daily Source for News, Culture, and Innovation.
Stay connected. Stay updated. Stay ahead.



No comments:
Post a Comment