Shetta ni msanii ambaye karibia nyimbo zake zote alizotoa amewashirikisha wasanii mbalimbali wa nyumbani. Alimshirikisha Belle 9 kwenye ‘Nimechokwa’, Rich Mavoko kwenye ‘Sina Imani’, Dully Sykes na Tunda ‘Mdananda’, Linah kwenye ‘Bonge la bwana’ na amemshirikisha Diamond katika nyimbo mbili ‘Nidanganye’ na ‘Kerewa’.
Sheta ambaye ni miongoni mwa wasanii wanaofanya kazi na hit makers wa bongo kwenye nyimbo zake amezungumzia uwezekano wa collabo na Ali Kiba
Swali> Sheta Unampango wa kufanya wimbo wa Ali Kiba
Jibu [Sheta]> Sina mpango wa kufanya kazi Na Ali Kiba, Hizo Habari umetoa wapi, Kwa sasa sina mpango wa kufanya wimbo na msanii wa nyumbani, naangalia International au nifanye wimbo mwenyewe,
Swali> Tungependa kujua wasanii wa nje unaopanga kufanya nao kazi
Jibu [Sheta]> Wako kama watano, uongozi unaangali yupi anafaa na atapatikana, siku tayari kusema majina sasa ila wimbo uko tayari.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Welcome to Bamba One Media, your trusted destination for timely, engaging, and wide-ranging content from across the globe. We go beyond just headlines, bringing you a complete media experience that keeps you informed, aware, and connected to what matters most.
At Bamba One Media, we cover it all. From hard news shaping the world, to the latest in entertainment and music, from fast-moving sports updates to insights in business and finance, and the innovations driving the future in technology, our platform is built to keep you ahead of the curve.
Behind the platform is a voice driven by passion and purpose: delivering fresh, relevant, and compelling stories every day. Whether it’s breaking news, rising artists, major sporting moments, market trends, or viral stories making waves online, we aim to bring clarity, perspective, and energy to every piece of content.
Bamba One Media isn’t just about staying informed; it’s about experiencing the world in real time.
Welcome to Bamba One Media - Your Daily Source for News, Culture, and Innovation.
Stay connected. Stay updated. Stay ahead.



No comments:
Post a Comment