#NEWS : Peter Okoye kaanzisha record label yake, kaanza kwa kuMsign Msanii Mmoja - BambaOne Media

Breaking

Wednesday, November 19, 2014

#NEWS : Peter Okoye kaanzisha record label yake, kaanza kwa kuMsign Msanii Mmoja

Peter Okoye wa P-Square ameanzishaa mwenyewe studio yake aitwaye P-Classic Record, ambayo ni kampuni tanzu ya kampuni yake P-Classic Group. Peter tayari ameshamSign msanii wa kwanza na kuanza kua msimamizi wake,ambaye pia ni binamu yake aneitwa  Malcolm Obinna Clint Onyeyiri, aka Malcoholic Obinna

Alipost picha za msanii wake huyo wa kwanza katika lebel  kwani msanii huyo anamuonekano wa kuvutia.

hapa ni baadhi ya picha alizokua anamtambulisha kwenye account yake ya Instagram 






No comments:

Post a Comment