VODACOM YAENDELEA KUWA MDHAMINI MKUU WA DANCE 100%
Vodacom Tanzania kwa mara nyingine tena wameendelea kuwa wadhamini wakuu wa mashindano ya Dance 100 kwa mwaka huu wa 2014 na lengo kubwa ni kuinua vipaji hivi vya uchezaji nchini Tanzania.
Television ya EATV kesho itazindua rasmi shindano la Dance 100% kwa mwaka huu. Shindano hilo lenye mvuto na ubora wa hali ya linarudi tena kwa kasi mpya ikiwa ni mara ya tatu mfululizo,shindano ambalo limewavtia vijana wenye umri kati ya miaka 14 mpaka 25 wakishindana kucheza kwenye mashindano haya ya Dance 100% kuwania ubingwa na zawadi ya fedha Taslimu.
SHARE habari hii na marafiki.
Bofya hapa kusoma zaidi
http://eatv.tv/news/entertainment/vodacom-yaendelea-kuwa-mdhamini-mkuu-dance-100
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Welcome to Bamba One Media, your trusted destination for timely, engaging, and wide-ranging content from across the globe. We go beyond just headlines, bringing you a complete media experience that keeps you informed, aware, and connected to what matters most.
At Bamba One Media, we cover it all. From hard news shaping the world, to the latest in entertainment and music, from fast-moving sports updates to insights in business and finance, and the innovations driving the future in technology, our platform is built to keep you ahead of the curve.
Behind the platform is a voice driven by passion and purpose: delivering fresh, relevant, and compelling stories every day. Whether it’s breaking news, rising artists, major sporting moments, market trends, or viral stories making waves online, we aim to bring clarity, perspective, and energy to every piece of content.
Bamba One Media isn’t just about staying informed; it’s about experiencing the world in real time.
Welcome to Bamba One Media - Your Daily Source for News, Culture, and Innovation.
Stay connected. Stay updated. Stay ahead.



No comments:
Post a Comment